Saturday, May 9, 2015

Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja la II-TGS. B( x 4) Halmashauri ya Bumbuli

Application Deadline: 22 May 2015
Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja la II-TGS. B( x 4) POSITION DESCRIPTION:
From Mwananchi
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Bumbuli kwa mujibu wa Kibali cha Ajira mpya chenye Kumb. Na. CB.170/369/01/H/138 cha tarehe 23/04/2015 taka kwa Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma, anatangaza nafasi zifuatazo za ajira kwa watanzania wote wenye sifa na wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 45.

KAZI Ya Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja la II-TGS. B (NAFASI4)

A) Sifa za waombajl:
i. Waombaji wawe wamehitimu kidato cha IV au kidato cha VI.
ii. Wawe na Cheti cha Utunzaji wa Kumbukumbu katika moja wapo ya Fani za
Afya, Masjala na Ardhi.

B) Kazi za kufanya:
i. Kutafuta nyaraka/majalada yanayohitajiwa na wasomaji.
ii. Kudhibiti upokeaji na uandikishaji wa kumbukumbu/nyaraka.
Iii. Kuweka barua/nyaraka katika majalada .
iv. Kushughulikia maombi ya kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali.
v.Kutekeleza kazi zozote atakazokuwa amepangiwa na msimamizi wake wa kazi.
APPLICATION INSTRUCTIONS:
MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI WOTE
Maombi vote yatumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji. Halmashauri ya Bumbuli.
S.L.P. 111. BUMBULI.

Maombi vote yaambatane na vivuli vya vyeti vya taaluma. mafunzo no vyeti
vya kuzaliwa vilivyothibitishwa na Mahakama au na mtu yeyote aliyeidhinishwa.
Waombaji waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (CV) yenye anwani
na namba za simu za kuaminika pamoja na majina yo wadhamini wa tatu wa kuaminika.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22/05/2015 saa 9:30 Alaslrl.
Maombi vote yatumwe kupitia Posta kwa anuani tajwa hapo juu.
Waombaji waliopita (shortlisted) ndiyo watakaotaarifiwa kwa ajili ya kuja
kufanya usaili.

Tangazo hili limetolewa na;
Beatrice K. Msomisi
MKURUGENZI MTENDAJI
HALMASHAURI YA BUMBULI

Katibu Mahsusi Daraja La III- TGS. B ( x 5) Halmashauri ya Bumbuli

Application Deadline: 22 May 2015
Katibu Mahsusi Daraja La III- TGS. B ( x 5) POSITION DESCRIPTION:
From Mwananchi
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Bumbuli kwa mujibu wa Kibali cha Ajira mpya chenye Kumb. Na. CB.170/369/01/H/138 cha tarehe 23/04/2015 taka kwa Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma, anatangaza nafasi zifuatazo za ajira kwa watanzania wote wenye sifa na wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 45.

1. KAZI YA Katibu Mahsusi Daraja La III- TGS. B ( NAFASI 5)
A) Sifa za waombaji:
i.Wahitimu wa kidato cha IV waliohudhuria mafunzo yo Uhazili na kufaulu mtihani
wa Hatua yo Tatu,
ii. wawe wamefaulu soma la Hati Mkato ya Kiswahili na Kingereza maneno 80
kwa dakika moja.
Iii. wawe wamepata mafunzo ya Kompyuta kutoka Chuo chochote
kinachotambuliwa na Serikali na kupata Cheti katika programu za
Windows,Microsoft Office, Internet, E-mail na Publisher.

B) Kazi za kufanya:
i. Kuchapa boruo. taarifa na nyaraka za kawaida.
Ii. Kusaidia kutafuta na kumpatia mkuu wake majalada no nyaraka zitakazo hitajika katika shughuli zokozi Ofisini. .
iii. Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa.
IV. Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa maafisa no kuyakusanya, kuyatunza no kuyarudisha sehemu zinazohusika.
v.Kutekeleza kazi zozate atakazokuwa amepangiwa na msimamizi wake wa
kazi.

APPLICATION INSTRUCTIONS: MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI WOTE
Maombi vote yatumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji. Halmashauri ya Bumbuli.
S.L.P. 111. BUMBULI.

Maombi vote yaambatane na vivuli vya vyeti vya taaluma. mafunzo no vyeti
vya kuzaliwa vilivyothibitishwa na Mahakama au na mtu yeyote aliyeidhinishwa.
Waombaji waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (CV) yenye anwani
na namba za simu za kuaminika pamoja na majina yo wadhamini wa tatu wa kuaminika.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 22/05/2015 saa 9:30 Alaslrl.
Maombi vote yatumwe kupitia Posta kwa anuani tajwa hapo juu.
Waombaji waliopita (shortlisted) ndiyo watakaotaarifiwa kwa ajili ya kuja
kufanya usaili.

Tangazo hili limetolewa na;
Beatrice K. Msomisi
MKURUGENZI MTENDAJI
HALMASHAURI YA BUMBULI

Plant Cleaner-Ubungo Gas Plant at Tanzania Electric Supply Company Limited(TANESCO)

Application Deadline: 22 May 2015
Plant Cleaner-Ubungo Gas Plant POSITION DESCRIPTION:
From Mwananchi

Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products /or Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned positions in Ubungo Gas Plant
Specific attributes for the Positions to be filled:
All Candidates must:
Demonstrate good performance track record.
Demonstrate highest degree of integrity.
Possess good communication and interpersonal skills.
Be self-driven and capable of working with minimal supervision.
Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines.
Organizing, Planning and Problem solving skills,
Good Team Player

Plant Cleaner : 1 POST
Reports To: SHIFT SUPERVISOR INCHARGE

POSITIVE OBJECTIVE
Maintenance of Plant Power House cleanliness at all times on daily basis and assist in their repair and maintenance of plumbing works in the station.

KEY RESPONSIBILITIES
Cleaning the Generators floor
Cleaning the standby Generator area
Cleaning the entrance building machinery area
Cleaning all the areas inside the power house
Participate in team work activities on repair and maintenance as directed by the supervisor.

MINIMUM REQUIRED QUALIFICATIONS
Certificate of Secondary Education - Form Four
Trade Test I VETA Certificate
APPLICATION INSTRUCTIONS:
REMUNERATION AND BENEFITS:
An attractive compensation package base on performance and commensurate with the responsibility will apply to successful candidates. .

If you are interested in the position, apply by sending a brief application letter, clearly stating why you should be considered for the position and how you will add value. With the letter, concise curriculum vitae should be enclosed showing briefly your work experience and for the position as well as work referees.
Applications should reach the undersigned not later than 14 days after initial appearance of this advert.

PLANT MANAGER UBUNGO GAS PLANT II
TANESCO LTD UMEME PARK, P. O. BOX 9024,
DAR-ES-SALAAM

Field Officer at Zanzibar Youth Multipurpose Co-operative Ltd (ZYMC)

Application Deadline: 12 Jun 2015
Field Officer POSITION DESCRIPTION:
Zanzibar Youth Multipurpose Co-operative Ltd (ZYMC) ni chama cha Ushirika kilicho sajiliwa kwa sheria No 4 ya mwaka 1986 sheria ya vyama vya Ushirika zanzibar, ZYMC imepewa jukumu la kuvifanyia ukaguzi wa mahesabu vyama vyote vya Ushirika Vya Zanzibar, ili kukamilisha kazi hiyo ZYMC ime amuwa kutowa nafasi 40 za kujitolea kwa watanzania wakaazi wa Zanzibar wenye sifa zi fuatazo;- walio maliza digree ya kwanza katika masuala ya uhasibu, usimamizi wa fedha na uchumi katika vyuo vinavyo tambuliwa na serekali ya mapinduzi ya zanzibar,
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Maombi yote lazima yaambatanishwe na vifuli vya vyeti vya kumalizia masomo, Cv pamoja na picha za paspoti size mbili.
Maombi yote yatumwe moja kwa moja posta kwa anuwani ifuatayo;

Katibu Mtendaji,
ZYMC,
S.L.P 820, Zanzibar Tanzania

Field Officer at Zanzibar Youth Multipurpose Co-operative Ltd (ZYMC)

Application Deadline: 12 Jun 2015
Field Officer POSITION DESCRIPTION:
Zanzibar Youth Multipurpose Co-operative Ltd (ZYMC) ni chama cha Ushirika kilicho sajiliwa kwa sheria No 4 ya mwaka 1986 sheria ya vyama vya Ushirika zanzibar, ZYMC imepewa jukumu la kuvifanyia ukaguzi wa mahesabu vyama vyote vya Ushirika Vya Zanzibar, ili kukamilisha kazi hiyo ZYMC ime amuwa kutowa nafasi 40 za kujitolea kwa watanzania wakaazi wa Zanzibar wenye sifa zi fuatazo;- walio maliza digree ya kwanza katika masuala ya uhasibu, usimamizi wa fedha na uchumi katika vyuo vinavyo tambuliwa na serekali ya mapinduzi ya zanzibar,
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Maombi yote lazima yaambatanishwe na vifuli vya vyeti vya kumalizia masomo, Cv pamoja na picha za paspoti size mbili.
Maombi yote yatumwe moja kwa moja posta kwa anuwani ifuatayo;

Katibu Mtendaji,
ZYMC,
S.L.P 820, Zanzibar Tanzania

Auditor Grade II( Forensic Auditor) -x 5 at National Audit Office (NAO)

Application Deadline: 20 May 2015
Auditor Grade II( Forensic Auditor) -x 5 POSITION DESCRIPTION:
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

Ref. Na EA.7/96/01/H/48 6th May, 2015

VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of National Audit Office (NAO, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 123 vacant posts in the above Public Institutions.

AUDITOR GRADE II (FORENSIC AUDITOR) – 5 POST

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
• Forensic Auditor prepares audit plans on the basis of Terms of Reference or allegations that need to be verified,

• Collects evidence through various methods such as interviews, documents reviews, data harvesting from computers, etc., and analyses the information, draft and present Forensic Audit Reports.

• The work entails frequent interaction with staff and managers of the audited entities and other stakeholders in the area of audit.

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

• Bachelor Degree/Advanced Diploma in Accounts/Finance from a recognized institution, with a knowledge or skills in Forensic and investigation The following qualifications will be an added advantage:

• Certified Fraud Examiner (CFE);

• Certified Forensic Investigation Professional (CFIP);
• Certified Public Accountant (CPA(T));

• Experience in fraud investigations and, or litigation;

• Comprehensive knowledge and experience in reviewing internal controls systems;

• Computer literacy and experience in the use of forensic audit soft wares;

• A sound qualitative and quantitative analytical skills; and

• Good communication and writing skills.

NB: GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact, postal address, e-mail and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.

iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of academic certificates:

– Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.

– Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.

– Form IV and Form VI National Examination Certificates.

– Computer Certificate

– Professional certificates from respective boards

– One recent passport size picture and birth certificate.

vi. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
vii. Testimonials, Partial transcripts and resu1 lts slips will not be accepted.
viii.Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
ix. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
x. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
xi. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. xiii.Certificates from foreign examination bodies for ordinary or advanced level
education should be certified by The National Examination Council of Tanzania
(NECTA)
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by The Tanzania
Commission for Universities (TCU)
xv. Deadline for application is 20th May, 2015 at 3:30 p.m
xvi. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate xvii. Women are highly encouraged to apply
xviii. Only short listed candidates will be informed on a date for interview xix. Application letters should be written in Swahili or English
APPLICATION INSTRUCTIONS:
APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:

Secretary
Public Service Recruitment
Secretariat,
P. O. Box 63100
DAR ES SALAAM.

OR Katibu
SekretarietiyaAjirakatika
UtumishiwaUmma
S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM

Economist Grade II at National Audit Office (NAO)

Application Deadline: 20 May 2015
Economist Grade II POSITION DESCRIPTION:
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

Ref. Na EA.7/96/01/H/48 6th May, 2015

VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of National Audit Office (NAO, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 123 vacant posts in the above Public Institutions.

ECONOMIST GRADE II – 1 POSTS

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
• Performance Auditor identifies audit problems, design audits, collects data through various methods such as interviews, documents reviews, surveys, focus group discussions etc., and analyses them, draft and present Performance Audit Report.

• The work entails frequent interaction with staff and managers of the audited entities and other stakeholders in the area of audit.

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

• Bachelor Degree in Economics or related field from a recognized institution of higher learning. Use of computer and application of software such as Word, Excel, and PowerPoint will be an essential requirement. Training in research methods will be an added advantage.

• Applicant should have a minimum of two years working experience in the relevant field. Candidates with experience from investigative/evaluative work will be given priority.

REMUNERATION

• Salary Scale: TGS. D

NB: GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact, postal address, e-mail and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.

iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
v. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of academic certificates:

– Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.

– Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.

– Form IV and Form VI National Examination Certificates.

– Computer Certificate

– Professional certificates from respective boards

– One recent passport size picture and birth certificate.

vi. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED

vii. Testimonials, Partial transcripts and resu1 lts slips will not be accepted.
viii.Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
ix. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
x. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November, 2010.
xi. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. xiii.Certificates from foreign examination bodies for ordinary or advanced level
education should be certified by The National Examination Council of Tanzania
(NECTA)
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by The Tanzania
Commission for Universities (TCU)
xv. Deadline for application is 20th May, 2015 at 3:30 p.m
xvi. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate xvii. Women are highly encouraged to apply
xviii. Only short listed candidates will be informed on a date for interview xix. Application letters should be written in Swahili or English


APPLICATION INSTRUCTIONS:
APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:

Secretary
Public Service Recruitment
Secretariat,
P. O. Box 63100
DAR ES SALAAM.


OR Katibu
SekretarietiyaAjirakatika
UtumishiwaUmma
S. L. P 63100,
DAR ES SALAAM