Thursday, August 6, 2015

Senior Library Officer at State University of Zanzibar (SUZA)

Application Deadline: 14 Aug 2015
Senior Library Officer POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Katibu Mahsusi Daraja la III ( x 2) Halmashauri ya Wilaya ya Same

Application Deadline: 21 Aug 2015
Katibu Mahsusi Daraja la III ( x 2) POSITION DESCRIPTION:
From Habari Leo, 31st Julai 2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWA LA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA SAME.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same anawatangazia nafasi ishirini na nne (23) za kazi. ' Maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo yanakaribishwa kutoka kwa Mtanzania yeyote mwenye sifa zilizotajwa katika tangazo hili.

KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III- ( NAFASI 2).

SIFA ZA MWOMBAJI:
Awe na Elimu ya Kidato cha Nne (IV),
Awe amehudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu,
Awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno BO kwa dakika rnoja,
Awe amepata rnafunzo ya Komputa kutoka Chuo chochote kinachotambulika na Serikali na Kupata
Cheti katika Program za Windows, Microsoft Office, Internet, Email na Publisher,

KAZI NA MAJUKUMU:
i) Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida.
ii) Kusaidia kupokea Wageni na Kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa, ,
iii) Kusaidia kutunza kumbukumbul taarifa za matukio, miadi, Wageni, tarehe za vikao safari za Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopagwa kutekelezwa katika Ofisi anayofanyia kazi na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
iv) Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika
katika shughuli za kazi hapo Ofisini.
v) Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa Wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu tarifa zozote atakazokuwa amepewa na wasaidizi hao. '
vi) Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maafisa walio katika sehemu alipo na kuyakusanya,
kuyatunza na kuyarudisha sehemu zlnazohuslka.
vii) Kutekeleza kazi zote atakazokuwa amepangiwa na msimamizi wake wa kazi.

Ngaz; ya Mshahara: TGS B

UTARATIBU WA UOMBAJI:
•Mwombaji awe Raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya
Wilaya ya Same.
•Barua za maombi ziambatishwe na nakala za Vyeti vya Elimu, Taaluma, Cheti cha kuzaliwa na picha mbili za rangi (Passport size).
•Barua za maombi ziambatishwe na maelezo Binafsi ya Mwombaji (Cv).
•Waombaji waliosoma Nje ya Nchi waambatishe uthlbltlsho wa Vyeti vyao kutoka Baraza la Mtihani la
Taifa (NECTA).
•Waombaji wote wanatakiwa wawe na umri kuanzia miaka 18 na umri usiozidi miaka 4S.
•Waombaji wote waliokidhi vigezo wataitwa kwenye usaili
•Waombaji watakaoitwa kwenye usaili watatakiwa waje na vyeti halisi (original Certificate)
Waombaji waandike anuani zao kwa usahihi na namba zao za simu
APPLICATION INSTRUCTIONS:
N.B: Maombi yote yatumwe kwa anuanl ifuatayo:-

MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WI LAYA YA SAME
S.L.P 138,
SAME
• Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 21.08.2015 saa 9:30 Alasiri.

Monica P.Z Kwiluhya
MKURUGENZI MTENDAJI(W)
SAME

Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja II (x 3) Halmashauri ya Wilaya ya Same

Application Deadline: 21 Aug 2015
Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja II (x 3) POSITION DESCRIPTION:
From Habari Leo, 31st Julai 2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI VA WAZIRI MKUU

TAWA LA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA SAME.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same anawatangazia nafasi ishirini na nne (23) za kazi. ' Maombi ya kujaza nafasi yoyote kati ya hizo yanakaribishwa kutoka kwa Mtanzania yeyote mwenye sifa zilizotajwa katika tangazo hili.

MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II- (NAFASI 3)

SIFA ZA MWOMBAJI
Awe na Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI)
Awe na Cheti cha Utunzaji wa Kumbukumbu katika fani ya Masjala kutoka chuo chochote _
kinachotambuliwa na SerikalL

KAZI NA MAJUKUMU: '
i) Kutafuta kumbukumbu INyaraka IMajalada yanayohitajika na wasomaji
ii) Kudhibiti Upokeaji, Uandikishaji wa kumbukumbul Nyaraka,
iii) Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbul Nyaraka katika makundi kulingana na somo
husika kwa ajili ya matumizi ya Ofisi,
iv) Kuweka Ikupanga kumbukumbu/Nyaraka katika reki,
v) Kuweka kumbukumbu katika majalada.
vi) Kushughulikia maombi ya kumbukumbul Nyaraka kutoka Taasisi za SerikalL

Ngaz; ya Mshahara: TGS B.

UTARATIBU WA UOMBAJI:
•Mwombaji awe Raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya
Wilaya ya Same.
•Barua za maombi ziambatishwe na nakala za Vyeti vya Elimu, Taaluma, Cheti cha kuzaliwa na picha mbili za rangi (Passport size).
•Barua za maombi ziambatishwe na maelezo Binafsi ya Mwombaji (Cv).
•Waombaji waliosoma Nje ya Nchi waambatishe uthlbltlsho wa Vyeti vyao kutoka Baraza la Mtihani la Taifa (NECTA).
•Waombaji wote wanatakiwa wawe na umri kuanzia miaka 18 na umri usiozidi miaka 45.
•Waombaji wote waliokidhi vigezo wataitwa kwenye usaili
•Waombaji watakaoitwa kwenye usaili watatakiwa waje na vyeti halisi (original Certificate)
Waombaji waandike anuani zao kwa usahihi na namba zao za simu
APPLICATION INSTRUCTIONS:
N.B: Maombi yote yatumwe kwa anuanl ifuatayo:-

MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WI LAYA YA SAME
S.L.P 138,
SAME
• Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 21.08.2015 saa 9:30 Alasiri.

Monica P.Z Kwiluhya
MKURUGENZI MTENDAJI(W)
SAME.

Afisa Tarafa II -x 5 at Public Service Recruitment Secretariat

Application Deadline: 13 Aug 2015
Afisa Tarafa II -x 5 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Katibu Wa Kamati Daraja La II –x 15 at Public Service Recruitment Secretariat

Application Deadline: 13 Aug 2015
Katibu Wa Kamati Daraja La II –x 15 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Afisa Tawala Daraja La II (Administrative Officer Grade II) –x 15 at Public Service Recruitment Secretariat

Application Deadline: 13 Aug 2015
Afisa Tawala Daraja La II (Administrative Officer Grade II) –x 15 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Msaidiziwa Kumbukumbu Daraja La II (x 10) Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

Application Deadline: 25 Aug 2015
Msaidiziwa Kumbukumbu Daraja La II (x 10) POSITION DESCRIPTION:
From Mwananchi, August 5th 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi anatangaza na
kukaribisha maombi ya kazi kwa nafasi za kazi zifuatazo:

Msaidiziwa Kumbukumbu Daraja La II (Nafasi 10)
A: Sifa
Awe arnehitirnu Kidato cha Nne au Sita na awe amehitimu Cheti cha Utunzaji
Kumbukumbu katika mojawapo ya Fani za Afya, Masjala, Mahakama na Ardhi

B: Mshahara
Cheo cha Msaidizi wa Kumbukumbu Oaraja la II kina Mshahara wa TGS B
C: Majukumu na Kazi za Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II

Kutafuta Kumbukumbu/NyarakalMafaili yanayohitajiwa na wasomaji
Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa Kumbukumbu Nyaraka
Kuchambua, kuorodhesha na kupanga Kumbukumbu/nyaraka katika
makundi kulingana na somo husika (Classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya Ofisi
Kuwekalkupanga Kumbukumbul Nyaraka katika reki (file racks/cabinets)
katika Masjalalvyumba vya kuhifadhia Kumbukumbu
Kuweka Kumbukumbu (barua, nyaraka nk) katika mafaili
Kushuqhulikia maombi ya Kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali.

Masharti ya jumla kwa nafasi zote
Mwombaji awe Mtanzania umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 45
Barua za maombi ziandikwe kwa Mkono na kuturnwa kwa anuani iliyotajwa chini
Mwombaji aambatishe nakala za Vyeti vya taaluma, cheti cha kuzaliwa.
Kwa wale watakaoitwa katika mahojiano (Interview) watatakiwa kufika na nakala halisi za Vyeti husika
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Mwisho wa kupokea maombi itakuwa tarehe 25.08.2015 saa 9.30 mchana.
Barua zote zitumwe kwa:
Mkurugenzi Mtendaji
Halmashauri ya Wilaya Bariadi
S.L.P. 109, BARIADI

Senior Finance Analyst at World University Service of Canada & Farm Radio International (FRI)

Application Deadline: 08 Aug 2015
Senior Finance Analyst POSITION DESCRIPTION:
Position title:Senior Finance Analyst

Position Location: Arusha, Tanzania

*Reports to:* WUSC Country Director(50%)/ FRI Regional Finance and Admin
Manager (50%)

Contract term:2 year contract (with possibly of renewal)

Application deadline: August 8th, 2015

*Start date: *As soon as possible

Farm Radio International (FRI) is a Canadian non-profit organization with a mission to support broadcasters in developing countries to strengthen small scale farming and rural communities. For detail information’s please visit our web site; www.farmradio.org.World University Service of Canada (WUSC) is a Canadian non-profit organization that works to create opportunities for education, employment and empowerment for under-privileged youth and women worldwide. For detail information’s please visit our web site;
www.wusc.ca

*BACKGROUND*

FRI has an office in Arusha with country offices in Accra, Addis, Arusha,
Bamako, Burkina, Kampala, Niamey and Lilongwe. Farm Radio International we
work with many partners to deliver effective programs to serve small-scale
farmers through radio. We support broadcasters in developing countries to strengthen small-scale farming and rural communities. We work in three areas: Impact Programming, Broadcaster Resources, and Broadcaster Training.

WUSC is launching the Uniterra Program in Tanzania, funded by the Department of Foreign Affairs, Trade and Development (DFATD) Canada, with FRI as a strategic partner. Uniterra is a volunteer cooperation and international development program that strengthens organizations and networks by pooling expertise and knowledge. The Uniterra Program contributes to improving the socio-economic conditions of local communities in 14 countries in Africa, Latin America, the Caribbean and Asia (including
Tanzania).

To support the above objectives of both FRI and WUSC, we are looking for the
suitable candidate to fill in the post of Senior Finance Analyst.

*KEY RESPONSIBILITIES*

Under the direct oversight of WUSC Country Director in Tanzania (50%), the Senior Finance Analyst will have overall responsibility for the financial &administration of WUSC in Tanzania. He/She is expected to provide high professional expertise in the conduct of Financial & Administration affairs relating to the implementation of all WUSC programs in Tanzania, including the newly funded Uniterra Program in Tanzania. The SFA will perform the following responsibilities:

Provision of technical support in accounting and administration functions through timely preparation of monthly and annual financial
reports and all other financial documents required for WUSC programs in
Tanzania;

· Monitoring and tracking of the office operation budget, and other
project budgets to avoid over and under expenditures;

· Ensure that financial and cash management systems are in place
and adhered to, and that internal audits indicate compliance;

· Manage the bank accounts, ensuring that proper documentation is
sent and received from the bank(s); maintain proper and correct accounting and physical assets inventory records;

· Providing support to establishment, updating and implementation of emergency and security procedures adopted by WUSC in relations to all
staff and volunteers;

· Responsible for assisting in the development of and implementing
Human Resources Manual and Financial policies and procedures for WUSC in
Tanzania;

· Support the Country Director and program officers in volunteer
management and administrative support;

· Provision of support in program development initiatives in terms of budget computation, monitoring and analysis;

· Support local and international financial audits of WUSC in
Tanzania;

· Ensure full compliance on all Donor regulations/standards on travel, personnel, procurement, financial administration, etc. are adhered to;

· Ensure regular communication/coordination with finance and administration staff in Tanzania, as well as at headquarters in Canada;

· Disclosing discrepancies to WUSC Country Director in a timely
manner in expense documentation and/or conflicts of interest as they arise
with staff;

· All other duties as assigned by the WUSC Country Director in Tanzania or headquarters office.

Under the direct oversight of FRI Regional Finance and Administration Manager – Africa (50%), the Senior Finance Analyst will perform the following responsibilities:

· Prepare yearly and monthly Financial reports in coordination with
Project officers in a timely manner; prepare actual vs. projected monthly
and yearly costs to assist FRI Regional Finance and Administration Manager
- Africa in developing appropriate budget strategies;

· Responsible for controlling costs and keeping projects within binding agreement budgeted limits;

· Responsible for assisting in the development of and implementing
Human Resources Manual and Financial policies with FRI Tanzania team;

· Ensure that financial and cash management systems are in place and adhered to, and that internal audits indicate compliance;

· Monitor procurement activities to ensure that they are in line
with the project and US government regulations;

· Provide oversight to the work of the Accounts Assistant regarding petty cash, writing checks, support documentation, and preparing vouchers for payments;

· Review all budgetary issues with project staff and as appropriate
with the donor agency;

· Develop and maintain systems to insure open and transparent communications with all staff;

· Prepare and submit various financial reports as required by the
Partner Agreement;responsible for all program and financial reporting;

· Lead training exercises for staff to ensure policies are complied with;

· Prepare and submit various financial reports as required by the contract in collaboration with the Project Director and home office Project Team;

· Ensure that all FRI policies and procedures are followed, and
comply with periodic FRI reporting requirements;

· To liaise with External Auditor for annual Project audit and respond to audit observations

· Check on accuracy and completeness of staff monthly payroll
information including compliance with statutory regulations;

· Reviewing bid analysis for procurement of goods and services;

· Perform such duties and exercise such powers as the project may from time to time reasonably assign to him/her notwithstanding his/her job title and such duties and powers may relate or concern the business of any
Group Organization including serving on other Employee body or committee or relating to such Group Organization as may be required from time to time by the Organization;

· All other duties as assigned by the FRI Regional Finance and
Administration Manager - Africa or headquarters office.

* QUALIFICATIONS*

· Education in relevant discipline (finance, accounting or business administration) or relevant work experience deemed as equivalent

· A minimum of five (5) years of experience in financial management, of program with annual budget of at least $3 million/year;

· A minimum of two (2) years of experience in personal and office administration;

· Proficiency in computer skills, spreadsheet, accounting packages (such as QuickBooks andGreat Plain) and MS Word, Excel, Power Point is requires;

· Strong analytical, communication and problem solving skills is
necessary along with capacityto identify and articulate potential problems
and provide possible solutions in concise andclear manner;

· Experience in working with international nongovernmental organization (INGOs) and donors; Experience with Payment by Result mechanism is a strong asset

· Relevant experience in providing support to international
volunteers is an asset;

· Proficiency in spoken and written Englishand Kiswahili.
APPLICATION INSTRUCTIONS:
WUSC and FRI are equal opportunity employer. Only those candidates
selected for an interview will be contacted. If you wish to apply for this
position, please send application letter & C.V to: tanzania@farmradio.org, Cc. jnyangoro@farmradio.org

Finance Manager at Mwanza Urban Water and Sanitation Authority (MWAUWASA)

Application Deadline: 04 Sep 2015
Finance Manager POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Chief Accountant at Mwanza Urban Water and Sanitation Authority (MWAUWASA)

Application Deadline: 04 Sep 2015
Chief Accountant POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Accountant III/II at Mwanza Urban Water and Sanitation Authority (MWAUWASA)

Application Deadline: 04 Sep 2015
Accountant III/II POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Accounts Assistant I-X 2 at Mwanza Urban Water and Sanitation Authority (MWAUWASA)

Application Deadline: 04 Sep 2015
Accounts Assistant I-X 2 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

ICT – Technician at State University of Zanzibar (SUZA)

Application Deadline: 14 Aug 2015
ICT – Technician POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Afisa Tehama Daraja La II- x 10 at Public Service Recruitment Secretariat

Application Deadline: 13 Aug 2015
Afisa Tehama Daraja La II- x 10 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Opereta Wa Kompyuta Msaidizi- x 6 at Public Service Recruitment Secretariat

Application Deadline: 13 Aug 2015
Opereta Wa Kompyuta Msaidizi- x 6 POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Tourism Information Officer Grade II at Tanzania Tourist Board (TTB)

Application Deadline: 17 Aug 2015
Tourism Information Officer Grade II POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Tutorial Assistant(x 3)- Computer Science / Computer Engineering at University of Dar es Salaam

Application Deadline: 14 Aug 2015
Tutorial Assistant(x 3)- Computer Science / Computer Engineering POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Assistant Lecturer-ICT in Education at University of Dar es Salaam

Application Deadline: 14 Aug 2015
Assistant Lecturer-ICT in Education POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Tutorial Assistant -ICT in Education at University of Dar es Salaam

Application Deadline: 14 Aug 2015
Tutorial Assistant -ICT in Education POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description

Tutorial Assistant-Information Technology or Statistics at University of Dar es Salaam

Application Deadline: 14 Aug 2015
Tutorial Assistant-Information Technology or Statistics POSITION DESCRIPTION:
Position Description Document (download)
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Please see position description