Katibu Mahsusi Daraja la III Halmashauri ya Manispaa ya Tabora

Application Deadline: 30 Aug 2015
Katibu Mahsusi Daraja la III POSITION DESCRIPTION:
From Mwananchi, 6 August 2015

Katibu Mahsusi Daraja la III Ngazi ya Mshahara TGS B (nafasi 2)

Awe na Elimu yo kidato cha IV au VI
Elimu ya Kidato cha Nne (IV),
Awe amehudhuria Mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu,
Awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno BO kwa dakika moja,
Awe amepata mafunzo ya Komputa kutoka Chuo chochote kinachotambulika na Serikali na Kupata
Cheti katika Program za Windows, Microsoft Office, Internet, Email no Publisher,

MAJUKUMU
Kuchapa barua, taarifa no nyaraka za kawaida.
Kusaidia kupokea Wageni na Kuwasaili shido zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa,
Kusaidia kutunza kumbukumbul taarifa za matukio, miadi, Wageni, tarehe za vikoo safari za Mkuu wake no ratiba yo kazi zingine zilizopagwa kutekelezwa katika Ofisi anayofanyia kazi no kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo Ofisini.
Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa Wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu tarifa zozote atakazokuwa amepewa na wasaidizi hao. '
Kusaidia kupokea majalada, kuyagawa kwa Maafisa walio katika sehemu alipo na kuyakusanya, kuyatunza na kuyarudisha sehemu zinazohuslka.
Kutekeleza kazi zote atakazokuwa amepangiwa na msimamizi wake wa kazi.


APPLICATION INSTRUCTIONS Utaratibu wa Kuomba:
Mwombaji awe raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi katika sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.
Waombaji watakaoitwa kwenye usaili waje na vyeti halisi (Original Certificate)
Barua za maombi ziambatane na maelezo binafsi ya mwombaji (CV)
Barua za maombi ziambatanishwe no nakala za vyetivya Elimu, Taaluma,cheti cha kuzaliwa na picha mbili za rangi (passport size)
Waombaji wanatakiwa wawe na umri kuanzia miaka 18 usiozidi 45.
Waombaji waandike namba za simu na anuani zao katiko barua yo maombi ..
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30/08/2015. Maombi yote yatumwe kwa anuani ifuatayo:-

Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.
S.LP 174, TABORA.
Sipara Liana Mkurugenzi wa Manispaa Tabora
Katibu Mahsusi Daraja la III Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Katibu Mahsusi Daraja la III Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Reviewed by ISSAH JUMA on Thursday, August 13, 2015 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.