Katibu Mahsusi III (x 5) Halmashauri ya Wilaya Ikungi

Application Deadline: 18 Aug 2015
Katibu Mahsusi III (x 5) POSITION DESCRIPTION:
HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI
TANGAZO LA NAFASIZA KAZI
(MARUDIO)
MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI

NAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WENYE SIFA KUOMBA NAFASI ZA KAMA IFUATAVYO

2. NAFASI YA KAZI; KATIBU MAHSUSI III – (NAFASI 05)
SEHEMU; Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

ZA MWOMBAJI
• Awe wamehitimu wa kidato cha nne (IV)
• Awe amehudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa Hatua ya Tatu
• Awe amefaulu somo la HatiMkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 80 kwa dakika moja
• Awe amepata mafunzo ya kompyuta kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali na kupata cheti katika program za Windows, Microsoft Office, Internet, Email na Publisher

KAZI NA MAJUKUMU
a) Kuchapa barua , taarifa na nyaraka za kawaida
b) Kusaidia kupokea wageni na kuwasikiliza shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
c) Kusaidia kutunza taarifa /kumbukumbu za matukio, mladi, wageni, tarehe za vikao, safari za mkuu wake na ratibaya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi na kumuarifu mkuu wake kwa wakati unaohitajika
d) Kusaidia kutafuta na kumpatia mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini
e) Kusaidia kufikisha maelezo ya mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na pia kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokua amepewa na wasaidizi hao
MSHAHARA:
Mshahara wa kuanzia ni kima cha serikati katika ngazi ya TGS. B

UTARATIBU WA UOMBAJI:
• Mwombaji awe Raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya Wilaya ya lkungi.
• Barua za maombi ziambatanishwe na nakala za vyeti vya elimu, Taaluma, Cheti cha kuzaliwa na picha mbili za rangi (Passport size)
• Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo Binafsi ya mwornbaji (CV].
• Waombaji waliosorna nje ya nehi, waambatanishe uthibitisho wa vyeti vyao kutoka Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
• Waombaji wote wanatakiwa wawe na umri kuanzia 18 hadi umri usiozidi miaka 45.
• Waombaji waliokidhi sifa wataitwa kwenye usaili
• Waombaji watakaoitwa kwenye usaili watatakiwa waje na vyeti halisi(original Certificate).
• Waombaji waandike anuani zao kwa usahihi na namba zao za simu
APPLICATION INSTRUCTIONS:
N.B; Maombi yote yatumwe kwa anwani ifuatayo:-

MKURUGENZI MTENDAJI (W),
HALMASHAURIYA WILAYAIKUNGI,
S.L.P.42,
SINGIDA


Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tar 18 Agosti, 2015 saa 9:30 Alasiri
KWA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPO CHINI>.>>>
Katibu Mahsusi III (x 5) Halmashauri ya Wilaya Ikungi Katibu Mahsusi III (x 5) Halmashauri ya Wilaya Ikungi Reviewed by ISSAH JUMA on Thursday, August 13, 2015 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.