AFISA TEHAMA II - FANI YA USIMAMIZI MIFUMO YA TEHAMA (SYSTEMS ADMINISTRATOR ) - 23 POST

Employer: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI)
Date Published: 2018-11-23
Application Deadline: 2018-12-07


JOB SUMMARY:
N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
i.Kuchambua   na kukusanya  mahitaji  ya watumiaji  wa programu  ya Kompyuta,  (Analyse  User Requirements) Kuandika   programu   za Kompyuta   (Implement   software  systems (Write  and document  code);
ii. Kufanya  majaribio  ya sehernu timilifu  za programu  za Kompyuta
            (Perform unit systems (module testing);
iii.  Kufanya  majaribio  ya usanidi  wa mifumo  ya TEHAMA  (Perform testing of system  configurations);
iv. Kufanyamajaribio ya   programuza Kompyuta kulingana na mahitaji ya watumiaji(Conductinguseracceptancetest); na
v. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa   na mkubwa wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani yake.


QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
Mhitimu  wa Stashahada  ya juu  au Shahada  ya Kompyuta  katika moja ya fani  zifuatazo;     Uhandisi   wa  Kompyuta,   Sayansi  ya  Kompyuta, Teknolojia ya  Habari,  Teknolojia   ya  Habari  na  Mawasiliano  au  Menejimenti ya  Mifumo   ya    Habari.
Wenye sifa zilizoorodheshwa hapa chini watafikiriwa kwanza (added advantage): MCSE Productivity Solutions, Expert Vmware, Certified Professional - Data Center Virtualization (VCP-DCV) Storage (IBM, EMC, NETAPP) Certifications RHCE-Red Hat Certified Engineer CompTIA Server+ certification

REMUNERATION: Salary Scale TGS E 

APPLICATION
Login to Apply
AFISA TEHAMA II - FANI YA USIMAMIZI MIFUMO YA TEHAMA (SYSTEMS ADMINISTRATOR ) - 23 POST AFISA TEHAMA II - FANI YA USIMAMIZI MIFUMO YA TEHAMA (SYSTEMS ADMINISTRATOR ) - 23 POST Reviewed by ISSAH JUMA on Wednesday, November 28, 2018 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.